Meneja Mauzo wa Vodacom Tanzania Njombe,Benedict Kitongwa(kulia)akimkabidhi mshindi wa kitita cha shilingi Milioni 15/-Alto Mdenye(katikati)alizojishindia kupitia Promosheni ya Tusua Mapene inayoendeshwa na kampuni hiyo. Ili Mteja aweze kushiriki kwenye promosheni hii anatakiwa kutuma neno “CHECK” au “VODA” kwenda namba 15544, kwa gharama ya shilingi 300 tu,Anaeshuhudia kushoto ni Meneja wa Benki ya NMB Njombe,Aloycius Shija.
Meneja wa Benki ya NMB Njombe,Aloycius Shija, Mshindi wa kitita cha shilingi Milioni 15/-Alto Mdenye(katikati) wakifurahia jambo pamoja na Meneja Mauzo wa Vodacom Tanzania Njombe,Benedict Kitongwa,Wakati wa hafla fupi ya kukabidhiwa kitita chake alichojishindia kupitia Promosheni ya Tusua Mapene inayoendeshwa na kampuni hiyo. Ili Mteja aweze kushiriki kwenye promosheni hii anatakiwa kutuma neno “CHECK” au “VODA” kwenda namba 15544, kwa gharama ya shilingi 300 tu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...