Mkuu
wa Kitengo cha Masoko wa benki ya CBA, Salomon Kawiche (kulia )
akisisitiza jambo kwa baadhi ya
wafanyakazi wenzake wakati wa michuano ya Mashindano ya Kombe la CBA
Golf Mwenyekiti yaliyothaminiwa na benki hiyo ,yaliyofanyika kwenye
viwanja vya Lugalo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa benki ya CBA,Dkt. Gift Shoko
(katikati)akiongea na wa chezaji wenzake
wa Golf Dkt. Edmond Mndolwa (Kushoto) na Joseph Marwa (kulia)wakati wa
michuano ya Mashindano ya CBA Golf ya Kombe la Mwenyekiti
yaliyodhaminiwa na benki hiyo,yaliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye
viwanja vya Lugalo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa benki ya CBA ,Dkt.Gift Shoko(wapilia kushoto) pamoja na baadhi ya viongozi wa Golf klabu ya Lugalo wakimshuhudia mwanamuziki mkongwe wa bendi ya Mark band, Rashidi Pembe akionyesha umahiri wake kwenye hafla ya kuwapongeza washiriki wa mashindano ya CBA Kombe la Mwenyekiti,yaliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye viwanja vya golf vya Lugalo jijini Dar es Salaam.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa benki ya CBA ,Dkt.Gift Shoko(wapilia kushoto) pamoja na baadhi ya viongozi wa Golf klabu ya Lugalo wakimshuhudia mwanamuziki mkongwe wa bendi ya Mark band, Rashidi Pembe akionyesha umahiri wake kwenye hafla ya kuwapongeza washiriki wa mashindano ya CBA Kombe la Mwenyekiti,yaliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye viwanja vya golf vya Lugalo jijini Dar es Salaam.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...