Mkuu wa Kitengo cha Masoko wa benki ya CBA, Salomon Kawiche (kulia ) akisisitiza jambo  kwa  baadhi ya wafanyakazi wenzake wakati wa michuano  ya Mashindano ya Kombe la CBA Golf Mwenyekiti  yaliyothaminiwa na benki hiyo ,yaliyofanyika kwenye viwanja vya Lugalo jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa benki ya CBA,Dkt. Gift Shoko (katikati)akiongea na wa chezaji wenzake wa Golf  Dkt. Edmond Mndolwa (Kushoto) na Joseph Marwa (kulia)wakati wa michuano  ya Mashindano ya CBA Golf ya Kombe la Mwenyekiti  yaliyodhaminiwa na benki hiyo,yaliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye viwanja vya Lugalo jijini Dar es Salaam.

 Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa benki ya CBA ,Dkt.Gift Shoko(wapilia kushoto)  pamoja na baadhi ya viongozi wa Golf  klabu ya Lugalo  wakimshuhudia mwanamuziki mkongwe wa bendi ya Mark band, Rashidi Pembe akionyesha umahiri wake kwenye hafla ya kuwapongeza washiriki wa  mashindano ya CBA   Kombe la Mwenyekiti,yaliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye viwanja vya golf vya Lugalo jijini Dar es Salaam.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...