Taasisi
ya utafiti ya REPOA, imezindua Ripoti ya Utafiti Kuhusu Ugatuaji wa
Madaraka kwa Wananchi (Understanding Decentralization and Devolution in
Tanzania) Katika Warsha iliyowakutanisha Wasomi na Wadau mbalimbali wa
maendeleo Mkoani Dodoma.
Mgeni Rasmi, Naibu Waziri wa Tamisemi Selemani Jafo (MB) akitoa Hotuba ya Ufunguzi wa warsha ya uzinduzi
wa
Ripoti ya Utafiti Kuhusu Ugatuaji wa Madaraka kwa Wananchi
(Understanding Decentralization and Devolution in Tanzania) .Warsha
iliyowakutanisha Wasomi na Wadau mbalimbali wa maendeleo Mkoani
Dodoma.
Baadhi ya wadau walioshiriki katika warsha ya uzinduzi wa
Ripoti ya Utafiti Kuhusu Ugatuaji wa Madaraka kwa Wananchi
(Understanding Decentralization and Devolution in Tanzania) Mkoani
Dodoma.
Mkurugenzi wa Repoa Dk. Donald Mmari Akifungua Warsha mkoani Dodoma iliyowahusisha wadau mbalimbali.
Picha ya Pamoja ya Washiriki wa Warsha hiyo pamoja na Mgeni rasmi mkoani Dodoma.
Picha ya Pamoja ya Washiriki wa Warsha hiyo pamoja na Mgeni rasmi mkoani Dodoma. 



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...