Waziri
wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe
akizungumza kabla ya kuongoza waombolezaji katika kuaga mwili wa
marehemu, Muhingo Rweyemamu mcahan wa leo kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja
jijini Dar es Salaam. Marehemu Muhingo Rweyemamu amezikwa leo kwenye
makaburi ya Kinondoni.
Mkuu
wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akitoa neno wakati wa kumuaga
Mwandishi wa habari mkongwe nchini, Muhingo Rweyemamu yaliyofanyika leo
Uwanja wa Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Mtoto wa marehemu akisoma risala.
Mwili wa marehemu mwandishi wa habari mkongwe nchini, Muhingo Rweyemamu ukiwasili kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...