Mmoja kati ya watangazaji wa Kipindi cha “LEO TENA” kinachotangazwa na kituo cha redio cha Clouds FM, Bw. Musa Hussein (aliyesimama) akiwa katika mjadala na Afisa Utumishi Mwandamizi kutoka Idara ya Ukuzaji Maadili, Ofisi ya Rais-Utumishi, Bi. Leila Mavika (kushoto).
Afisa Utumishi Mwandamizi kutoka Idara ya Ukuzaji Maadili, Ofisi ya Rais-Utumishi, Bi. Leila Mavika (kushoto) akishiriki mjadala kuhusu masuala ya maadili, hususan mavazi kwa watumishi wa umma na wateja wanaofuata huduma katika taasisi za umma katika kipindi cha LEO TENA kinachotangazwa na kituo cha redio cha Clouds FM.
Afisa Utumishi Mwandamizi kutoka Idara ya Ukuzaji Maadili, Ofisi ya Rais-Utumishi, Bi. Leila Mavika (kushoto) akifafanua kuhusu muonekano na aina ya mavazi yanayopaswa kuvaliwa na watumishi wa umma na wateja wanaofuata huduma katika taasisi za umma katika kipindi cha LEO TENA kinachotangazwa kituo cha redio cha Clouds FM.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...