
Wafanyakazi
wa Azania Bank tawi la Moshi wakikata keki kwa pamoja kwa ajili ya
kushiriki na Wateja wao ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya Huduma kwa
Wateja inayoendelea.

Mfanyakazi
wa Azania Bank,tawi la Moshi,Diana Ngaiza akimhudumia mmoja wa wateja
wa Benki hiyo waliofika kwa ajili ya kupatiwa Huduma za kibenki.
Baadhi ya Wateja wakipata Huduma katika madirisha ya Huduma ndani ya Benki hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...