Kikosi cha Zimamoto na Uokoaji kikiendelea na zoezi la uzimaji moto uliozuka kwenye kiwanda cha Matairi cha Superdoll, kilichopo barabara ya Nyerere jijini Dar es salaam mchana wa leo. Chanzo cha moto huo bado hakijafahamika. Globu ya Jamii inaendelea kufatilia tukio hilo na tutaendelea kujulishana.
Harakati za uokozi zikiendelea.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...