Eneo la kituo cha mabasi cha Mbagala Rangi tatu likiwa limezingirwa na maji kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam na mikoa ya Pwani
Eneo la kituo cha mabasi cha Mbagala Rangi tatu likiwa limezingirwa na maji kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam na mikoa ya Pwani. Picha na Humphrey Shao wa Globu ya Jamii
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...