Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Charles Mkumbo akisalimiana na wachezaji wa timu ya Polisi Tanzania kabla ya kuanza kwa mchezo wa ligi daraja la kwanza ulioikutanisha timu hiyo na Polisi Dar es Salaam katika uwanja wa Ushirika-Moshi Mkoani Kilimanjaro ambapo ulimalizika kwa Polisi Tanzania kupata ushindi wa magoli 2-0.
Mchezaji wa Polisi Tanzania Saimon Fanuel akionyesha umahiri wa kusakata soka wakati wa mchezo wa ligi daraja la kwanza ulioikutanisha timu hiyo na Polisi Dar es Salaam katika uwanja wa Ushirika-Moshi Mkoani Kilimanjaro ambapo ulimalizika kwa Polisi Tanzania kupata ushindi wa magoli 2-0.
Wachezaji wa Polisi Tanzania wakishangilia baada ya kujipatia goli la pili katika mchezo wa ligi daraja la kwanza kundi B ulioikutanisha timu hiyo na Polisi Dar es Salaam katika uwanja wa Ushirika-Moshi Mkoani Kilimanjaro ambapo ulimalizika kwa Polisi Tanzania kupata ushindi wa magoli 2-0.
Wachezaji wa Polisi Tanzania na Polisi Dar es Salaam wakiwania mpira katika lango la Polisi Dar es Salaam katika mchezo wa ligi daraja la kwanza kundi B uliozikutanisha timu hizo katika uwanja wa Ushirika-Moshi Mkoani Kilimanjaro ambapo ulimalizika kwa Polisi Tanzania kupata ushindi wa magoli 2-0.(Picha na Jeshi la Polisi).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...