NA K-VIS BLOG/Khalfan Said
WAANDISHI wa habari ambao ni wanachama wa kundi la Whatsapp lijulikanalo kama TASNIA HALISI wamezindua kundi hilo Jumamosi jana  Oktoba 28, 2017 kwa sherehe kabambe ya kukata na shoka iliyohanikizwa na nyama choma, vinywaji vya kila aina na muziki.
Mratibu wa shughuli hiyo Bi. Angela Msangi amesema kundi hilo ni mukusanyiko wa wanataaluma na wadau wa habari na linalenga kuwaleta pamoja wana tasnia kwa nia ya kubadilishana taarifa na kusaidiana kitaaluma na kijamii.
Katika uzinduzi huo umeshuhudia waandishi kutoka sehemu mbalimbali nchini wakishiriki, ambapo shampeni mbili zilifunguliwa pamoja na kukata keki.

Sehemu ya wanahabari wanachama wa kundi la Whatsapp la  TASNIA HALISI wakifurahia wakati wa kuzindua kundi hilo Jumamosi jana  Oktoba 28, 2017

Sehemu ya wanahabari wanachama wa kundi la Whatsapp la  TASNIA HALISI wakifurahia wakati wa kuzindua kundi hilo Jumamosi jana  Oktoba 28, 2017
Sehemu ya wanahabari wanachama wa kundi la Whatsapp la  TASNIA HALISI wakifurahia wakati wa kuzindua kundi hilo Jumamosi jana  Oktoba 28, 2017
Mratibu wa wa kundi la Whatsapp la  TASNIA HALISI  Angellah Msangi akiongea na Dennis Msacky wakati wa kuzindua kundi hilo Jumamosi jana  Oktoba 28, 2017
Mdau mkuu wa  kundi la Whatsapp la  TASNIA HALISI  Tedy Mapunda akifurahia  wakati wa kuzindua kundi hilo Jumamosi jana  Oktoba 28, 2017. Kwa habari zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...