Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mahusiano wa Benki ya TIB Corporate, Bi.Theresia Soka akitoa ufafanuzi katika semina ya Jukwaa la Biashara lililofanyika mkoani Shinyanga jana. Jukwaa hilo lililoandaliwa na  Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) kwa kushirikiana na wadau mbalimbali ikiwa na lengo la kueleza na kuibua fursa mbalimbali za kibiashara na kiuchumi zinazopatikana mkoani humo.
  Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mahusiano wa Benki ya TIB Corporate, Bi.Theresia Soka akiwa na Wadau mbalimbali ktk jukwaa Hilo la biashara wakisikiliza mada zilizokuwa zikiwa wasilishwa
Picha ya pamoja ya washiriki wa Jukwaa la biashara  lililoandaliwa na  Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) kwa kushirikiana na wadau mbalimbali ikiwa na lengo la kueleza na kuibua fursa mbalimbali za kibiashara na kiuchumi zinazopatikana mkoani humo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...