Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mahusiano wa Benki ya TIB Corporate, Bi.Theresia Soka akitoa ufafanuzi katika semina ya Jukwaa la Biashara lililofanyika mkoani Shinyanga jana. Jukwaa hilo lililoandaliwa na Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) kwa kushirikiana na wadau mbalimbali ikiwa na lengo la kueleza na kuibua fursa mbalimbali za kibiashara na kiuchumi zinazopatikana mkoani humo.
Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mahusiano wa Benki ya TIB Corporate, Bi.Theresia Soka akiwa na Wadau mbalimbali ktk jukwaa Hilo la biashara wakisikiliza mada zilizokuwa zikiwa wasilishwa
Picha ya pamoja ya washiriki wa Jukwaa la biashara lililoandaliwa na Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) kwa kushirikiana na wadau mbalimbali ikiwa na lengo la kueleza na kuibua fursa mbalimbali za kibiashara na kiuchumi zinazopatikana mkoani humo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...