Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe.Jordan Lugimbana akimkaribisha Mjumbe Maalumu wa Waziri Mkuu wa Uingereza kwa Tanzania katika masula ya Biashara, Lord Clive Hollick mapema leo Ofisini kwake
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe.Jordan Lugimbana akizungumza na Mjumbe Maalim wa Waziri Mkuu wa Uingereza kwa Tanzania katika masula ya Biashara, Lord Clive Hollick mapema leo Ofisini kwake
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe.Jordan Lugimbana akizungumza na Ujumbe alioongozana nao Mjumbe Maalimu wa Waziri Mkuu wa Uingereza kwa Tanzania katika masula ya Biashara, Lord Clive Hollick mapema leo Ofisini kwake mjini Dodoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...