Naibu Katibu Mkuu Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bi.Susan Mlawi akizungumza wakati wa kufunga warsha ya kitaifa ya maboresho ya huduma za umma na utoaji Madaraka  kwa tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa uliofanyika  katika ukumbi wa Hazina leo Mkoani Dodoma.
 Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uongozi Profesa Joseph Semboja akizungumza wakati wa kufunga warsha ya kitaifa ya maboresho ya huduma za umma na utoaji Madaraka  kwa tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa uliofanyika  katika ukumbi wa Hazina leo Mkoani Dodoma.
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe.Aggrey Mwanri akizungumza wakati wa kufunga  warsha ya kitaifa ya maboresho ya huduma za umma na utoaji Madaraka  kwa tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa uliofanyika  katika ukumbi wa Hazina leo Mkoani Dodoma.
 Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe.Richard Kasesela akiteta jambo na Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe.Fabian Daqqaro wakati wa kufunga warsha ya kitaifa ya maboresho ya huduma za umma na utoaji Madaraka  kwa tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa uliofanyika  katika ukumbi wa Hazina leo Mkoani Dodoma.

Baadhi ya Wakuu wa Mikoa na Wilaya  walioshiriki katika warsha ya kitaifa ya maboresho ya huduma za umma na utoaji Madaraka  kwa tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa uliofanyika  katika ukumbi wa Hazina leo Mkoani Dodoma wakifuatilia mada mbaimbali.
Picha zote na Daudi Manongi,MAELEZO, DODOMA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...