Mwanza mko tayari? Her initiative inakuletea PANDA msimu wa nne "Innovation in everything", (tamasha la ujasiriamali , uvumbuzi na ajira kwa wanafunzi wa kike vyuo vya Sauti, Cbe, Btc, Feta, Bugando) litakalofanyika katika ukumbi wa M 12 Chuo kikuu cha St Agustine Sauti Mwanza.Tarehe 2 December 2017 kutakua na waongeaji , muziki zawadi na selfies zakutosha Mtag rafiki aliye ndani ya Rock city Mwambie hii si ya kukosa @her_initiative @her_initiative @Kent_reen Kwa mahitaji ya meza za maonyesho ya bidhaa na Tshirt piga simu (0756540156/0654359701)
Ukija na mwenzako hakika itapendeza
#hercash
#herinnovation
#pandanauvumbuzi
Ukija na mwenzako hakika itapendeza
#hercash
#herinnovation
#pandanauvumbuzi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...