Mwanza mko tayari? Her initiative inakuletea PANDA msimu wa nne "Innovation in everything", (tamasha la ujasiriamali , uvumbuzi na ajira kwa wanafunzi wa kike vyuo  vya Sauti, Cbe, Btc, Feta, Bugando)  litakalofanyika katika ukumbi wa  M 12 Chuo kikuu cha St Agustine Sauti Mwanza.Tarehe 2 December 2017 kutakua na waongeaji , muziki zawadi na selfies zakutosha Mtag rafiki  aliye ndani ya Rock city Mwambie hii si ya kukosa @her_initiative @her_initiative @Kent_reen  Kwa mahitaji ya meza za maonyesho ya bidhaa na Tshirt piga simu (0756540156/0654359701)
Ukija na mwenzako hakika itapendeza
#hercash
#herinnovation
#pandanauvumbuzi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...