Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Abdallah Ulega akiongoza shughuli ya kuteketeza nyavu haramu zenye thamani ya zaidi shilling milioni 100,a zilizo salimishwa na zilizokamatwa katika kisiwa cha Kerebe mkoa wa Kagera jana.
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Abdallah Ulega akizungumza na wananchi wanaoishi katika kisiwa cha Kerebe mkoa wa Kagera, juu ya kutumia zana sahihi za uvuvi na kuacha kutumia zana haramu.
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Abdallah Ulega akishuka kwenye boti huku akiwa ameambatana na viongozi wa kikosi maalum cha kupambana na uvuvi haramu wakiwasiri katika kisiwa cha Kerebe mkoa wa Kagera kwa usafiri wa boti.Picha na Emmanuel Massaka.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...