Kocha mkuu wa Simba SC, Pierre Lechantre katikati na kushoto ni kocha Msaidizi Masoud Djuma wakipeana maelekezo katika mazoezi hayo kulia ni Meneja wa Simba SC, Robert Richard Uwanja wa Bandari Temeke Jijini Dar es Salaam.
Wachezaji SimbaSc wakiwa kwenye mazoezi ya kujifua kukabiliana na mchezo wao wa raundi ya 16 dhidi ya Wanalizombe MajimajiFc utakaochezwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam siku ya Jumapili hii majira ya Saa 10 jioni.
Mchezaji wa Simba SC, Shomari Kapombe akifanya mazoezi ya kujifua kwa akili ya mchezo wao wa raundi ya 16 dhidi ya MajimajiFc yenye makzi yake Mkoani Ruvuma leo katika Uwanja wa Bandari uliopo Jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...