Kampuni ya isatech Water  Watengenezaji wa mita za maji za kutumia LUKU kwa ajili ya matumizi mbali mbali kama Water Kiosk kwa matumizi ya community , Domestic meter kwa makazi na  meter kubwa kwa ajili ya viwanda na taasisi. 
Katika mazungumzo yao  Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani Dkt. Abdallah  Possi ameelea kufurahishwa na technolojia hiyo ambayo amesema inaweza kusaidia ukusanyaji wa mapato hususani maeneo ya vijijini ambako miundombinu ya maji bado ni tatizo. 
Mhe Balozi Dr Possi ameshauri kampuni ya iSatech Water watumie  fursa iliyopo na  kuingia katika soko la Tanzania .
Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa iSatech water Berlin,Mr  Emmanuel Mey, Balozi wa Tanzania Ujerumani  Mh Balozi DKt. Abdallah  Possi, Mwakilishi wa Kampuni ya iSATECH Water Tanzania Bw.  Peter Kazaura na Bi. Hanna Jass kutoka iSatech water Berlin.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...