Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mh. January Makamba akihutubia wakati zoezi la upandaji miti kuendeleza programu ya kuifanya Dodoma iwe ya kijani iliyofanyika mjini Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mh. January Makamba akipanda mti wakati wa zoezi la upandaji miti kuendeleza programu ya kuifanya Dodoma iwe ya kijani iliyofanyika mjini Dodoma.
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mh. Kangi Lugola akishiriki katika zoezi la upandaji miti katika kuendeleza programu ya kuifanya Dodoma iwe ya kijani.
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Joseph Malongo akifurahia jambo na Wajumbe wa kamati ya bunge ya viwanda , biashara na Mazingira katika siku ya zoezi la programu ya upandaji wa miti na kuifanya Dodoma kuwa ya kijani.
Sehemu ya Wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais waliohudhuria katika zoezi hilo wakimsikiliza Mgeni Rasmi (hayupo pichani)
Pichani Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma wakitumbuiza wakati wa zoezi hilo la upandaji miti.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...