Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Pwani ,Ramadhani Maneno akizungumza alipotembelea kata ya Mapinga ,wilaya ya Bagamoyo wakati wa muendelezo wa ziara yake anayoendelea nayo mkoani hapo kushukuru kuchaguliwa nafasi hiyo.(picha na Mwamvua Mwinyi)
Baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Bagamoyo wakimsikiliza mwenyekiti wa CCM Mkoani Pwani ,(hayupo pichani) wakati alipokuwa amefanya ziara yake ya kushukuru wilayani humo .(picha na Mwamvua Mwinyi)
Aliyekuwa mgombea udiwani kata ya Mapinga kupitia ACT Wazalendo uchaguzi mkuu uliopita ,Tabia Juma akiongea baada ya kuhamia CCM wakati wa ziara ya mwenyekiti wa CCM Mkoani Pwani ,Ramadhani Maneno aliyoifanya wilayani Bagamoyo,pamoja na hilo uongozi mzima wa ACT kwenye kata hiyo ulihamia CCM.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...