Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akiwa katika picha ya pamoja na askari wa kikosi maalum cha kupambana na uhalifu hususani katika barabara kuu ya mkoa wa Shinyanga, inayounganisha mikoa ya jirani ya Mwanza na Geita ambapo kikosi hicho kimepata mafanikio makubwa kutokana na kupambana na wahalifu waliokuwa wakitumia silaha za moto. Picha na Jeshi la Polisi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...