Kuelekea mchezo kati ya Ndanda FC ya Mkoani Mtwara na Yanga Sc ya Jijini Dar es Salaam tayari wafanyabiashara wa Kuuza Jezi wameanza Kutundika Bidhaa hizo Huku Jezi ya Ibrahim Ajibu na Papikabamba Shishimbi Zikiongoza kwa Kuuzwa.
Jezi hizo ambazo zimesambazwa Pembeni ya Uwanja wa Umoja Nangwanda Sijaona Mkoani Mtwara,ambapo hata Hivyo ni Jezi za Simba FC na Yanga FC ndio Zinaonekana Kuuzwa Zaidi Huku Jezi za Ndanda SC Zikikosekana.
Mmoja wa Wafanyabiashara Saleh Hassan anasema Jezi zinazouzika ni wa Simba SC lkn kwa Timu ya Yanga SC wateja Waliowengi wamekuwa wakiulizia Jezi ya Ajibu pamoja na Shishimbi ambazo ndio zinaonek
Kwa Muonekana Hakuna Jezi ya Timu wenyeji Ndanda FC inayouzwa zaidi ya Jezi za Yanga SC na Simba SC.Mchezo wa Ndanda FC ya Mkoani Mtwara dhidi ya Simba SC unatarajia kufanyika Jtano ya Wiki hii.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...