Mbunifu nguli wa mitindo Bi. Asya Idarous-Khamsin ameandaa After party (pool party) ya Lady in Red Farewell siku ya Jumapili Februari 18, 2018 kuanzia saa 10 jioni katika ukumbi wa Next Door Masaki jijini Dar es salaam kuwaaga rasmi washirika na mashabiki wake baada ya kutamba kama Mama wa Mitindo nchini Tanzania kwa zaidi ya miongo miwili.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...