Mwanasheria Mkuu wa Serikali  Dk. Adelardus Kilangi akijadiliana jambo na  Majaji wa Mahakama ya  Haki  ya  Afrika ya   Mashariki  (EACJ) wakati alipoitembelea mahakama jijini Arusha Ijumaa.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Dk, Adelardus Kilangi akiwa katika mazungumzo na  Rais wa Mahakama   ya Haki ya Afrika Mashariki ( EACJ), Mhe Jaji Dk. Emmanuel Ugirashebuja na katika mazungumzo yao Rais wa  EACJ alimweleza Mwanasheria Mkuu kwamba mahakama hiyo imekuwa ikizitegemea  Ofisi za Wanasheria Wakuu ikiwamo  ya Tanzania katika utekelezaji wa Majukumu yake.

 Mwanasheria Mkuu wa  Serikali Mhe. Dk. Adelardus Kilangi akiwa katika mazungumzo na Rais wa  Mahakama   ya Afrika ya Haki za Watu na Binadamu  (AfCHPR) Jaji  Sylvain Ore walipokuta  Jijini  Arusha. Katika mazungumzo yao, Mwanasheria Mkuu wa Serikali aliahidi kushirikiana wa Mahakama hiyo ambapo kwa upande wake Rais wa  AfCHPR alisema mahakama hiyo imekuwa ikipata ushirikiano mzuri kutoka kwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupitia kwa Mawakili wa Serikali ambao wamekuwa wakiiwakilisha serikali katika mashauri mbalimbali.. Mwingine katika picha ni Katibu wa Mwanasheria Mkuu, Wakili wa Serikalil Mkuu  Ephery Sedekea.
 Mwanasheria Mkuu wa Serikali akiangalia namna mfumo wa   habari  na mawasiliano wa mahakama hiyo unavyofanya kazi wakati alipoitembelea  Mahakama ya Haki ya Afrika Mashariki  leo Arusha


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...