Naibu Waziri wa Madini Mhe Doto Mashaka Biteko akisisitiza jambo wakati akizungumza na viongozi na watumishi mbalimbali wa ngazi ya Wilaya ya Ileje Mkoa wa Songwe na Kyela Mkoani Mbeya katika ukumbi wa ofisi za Mgodi wa Kiwira zilizopo katika Kijiji cha Kapeta, Kata ya Ikinga Wilayani Ileje, Leo Februari 2018.
Naibu Waziri wa Madini Mhe Doto Mashaka Biteko akiwasili mgodini
Naibu Waziri wa Madini Mhe Doto Mashaka Biteko akikagua hali ya mitambo tangu kusimamishwa kwa uzalishaji wa mgodi wa makaa ya mawe wa Kiwira mwaka 2009 katika Kijiji cha Kapeta, Kata ya Ikinga Wilayani Ileje, Leo Februari 2018.
Naibu Waziri wa Madini Mhe Doto Mashaka Biteko akikagua hali ya magari tangu kusimamishwa kwa uzalishaji wa mgodi wa makaa ya mawe wa Kiwira mwaka 2009 Kijiji cha Kapeta, Kata ya Ikinga Wilayani Ileje, Leo Februari 2018. Picha Zote Na Mathias Canal, WazoHuru Blog
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...