Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani Mratibu Abeli Swai amewataka madereva pikipiki na magari mkoani ruvuma kufuata sheria za usalama barabarani ili kupunguza ajali zinazotokea ambazo chanzo chake kikubwa zinasababishwa na matumizi mabaya ya barabara
Home
Unlabelled
RUVUMA TV: RTO RUVUMA KUFANYA OPARESHENI YA MADEREVA WASIO NA SIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...