Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii
RADIO Uhuru imeandaa show  MIC TATA itakayowashirikisha wasanii mbalimbali nchini itakayofanyika Februari 24 katika ukumbi wa Dar Live Mbagala jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na Michuzi Blog, Afisa Uhusiano , Sheila Simba  amesema kuwa show siyo ya kukosa kutokana na wasanii walivyojipanga katika kukutanisha wasanii mbalimbali .
Sheila amesema kuwa radio uhuru kufanya show hiyo  ni mwendelezo wa show zingine ikiwa ni kukutanisha wasanii mbalimbali kutoa burdani kwa mashabiki wao.Wasanii watakaotumbiza katika Mic Tata ni Joe Makini , Inspekta Haruni , Manifongo , Dulla Makabila  na Amigo wa Tarabu  huku kiingilio ikiwa ni sh. 5000
Afisa Uhusiano wa Radio Uhuru, Sheila Simba akizungumza na Michuzi Blog kuhusiana na Radio hiyo kuandaa show Mic Tata itakayofanyika Februari 24 katika Ukumbi wa Dar Live Mbagala jijini Dar es Salaam, Mtayarishaji wa Vipindi, Richichard Ricomoco

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...