Mshambuliaji wa Simba SC, Emmanuel Okwi akishangilia moja ya bao alilofunga katika mchezo dhidi ya Mbao FC mchezo uliofanyika katika dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo. Simba iliibugiza Mbao FC bao 5 - 0.
 Beki kisiki wa Simba SC, Erasto Nyoni akiwa katika furaha na Kiungo Mkabaji wa Kikosi hicho, James Kotei.
Emmanuel Okwi akiwa chini baadayakuchezewa ndivyo sivyo na Beki wa Mbao FC.
 Mashabiki wa Klabu ya Simba akifutilia mtanange huo, ambapo timu yao iliibuka na ushindi wa bao 5 - 0 katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Mbao FC.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...