Mkufunzi Mwandamizi wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi Tanzania, Balozi Peter Kallaghe(kushoto) akisalimiana na Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini, Dkt Juma Malewa walipofanya ziara ya mafunzo Makao Makuu ya Jeshi la Magereza leo Februari 21, 2018(wa pili kulia) ni Kamishna wa Fedha na Utawala wa Magereza, Gaston Sanga.
Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini, Dkt Juma Malewa akifanya mazungumzo mafupi na Maafisa Wakufunzi(hawapo pichani)kutoka Chuo cha Ulinzi wa Taifa cha Tanzania walipofanya ziara ya mafunzo Makao Makuu ya Magereza leo Februari 21, 2018.
Maafisa Wakufunzi toka Chuo cha Ulinzi wa Taifa cha Tanzania wakisaini kitabu cha wageni katika Ofisi ya Kamishna Jenerali wa Magereza kabla ya kutembelea maeneo mbalimbali ya Jeshi la Magereza Jijini Dar es Salaam(wa kwanza kushoto) ni Mkufunzi Mwandamizi wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi Tanzania, Balozi Peter Kallaghe.
Maafisa Washiriki kutoka Chuo cha Ulinzi wa Taifa cha Tanzania wakiangalia meza iliyotengenezwa katika Kiwanda cha Uselemala cha Gereza Kuu Ukonga katika ziara yao ya mafunzo katika Jeshi la Magereza.
Kamishna wa Fedha na Utawala wa Magereza, Gaston Sanga(kulia) akipokea zawadi kwa niaba ya Kamishna Jenerali wa Magereza kutoka kwa Mkufunzi Mwandamizi wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi Tanzania, Balozi Peter Kallaghe(kushoto).

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...