Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye, akizungumza katika mkutano na wananchi wa Kipunguni A na Mashariki, Dar es Salaam kuhusu ulipwaji wa fidia kwa wananchi hao, ili kupisha upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA). Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Bw. Richard Mayongele.

Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilala, Bw. Edward Mpogolo, akizungumza katika mkutano na wananchi wa Kipunguni A na Mashariki, Dar es Salaam kuhusu ulipwaji wa fidia kwa wananchi hao kwa ajili ya upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA).
Mkazi wa Kipunguni Mashariki Dar es Salaam leo akichangia mada katika mkutano wa ulipwaji wa fidia kwa ajili ya upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA).


Mkazi wa Kipunguni Mashariki, Bw. Daudi Peter, akichangia hoja katika mkutano wa ulipwaji wa fidia kwa ajili ya kupisha upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA).
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Bw. Richard Mayon gela, akizungumza na wanannchi Kipunguni A na Mashariki, kuhusu ulipwaji wa fidia kwa ajili ya kupisha upanuzi wa kiwanja cha Ndege.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...