Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akimkabidhi mashine ya kubangulia korosho, Aziza Juma, katika viwanja vya michezo vya sabasaba vilivyopo Newala mjini, Februari 28, 2018
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa na mkewe Mary Majaliwa wakiwasalimia wananchi, wakati wakiwasili katika viwanja vya michezo vya sabasaba vilivyopo Newala mjini, Februari 28, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mke wa Waziri Mkuu, Mary Majaliwa akizungumza na wananchi wa Newala mjini, katika viwanja vya michezo vya sabasaba vilivyopo Newala mjini, Februari 28, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akipokea zawadi ya bakora, kutoka kwa mzee Mohammed Abeid Liyanga, anaye wawakilisha wazee wa Newala, katika viwanja vya michezo vya sabasaba vilivyopo Newala mjini, Februari 28, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi wa Newala Mjini, katika viwanja vya michezo vya sabasaba vilivyopo Newala mjini, Februari 28, 2018.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...