Bank ya NMB tawi la Namtumbo Mkoni Ruvuma imetoa msaada wa vifaa vya hospital ambavyo ni vitanda vya kujifungulia akina mama, vitanda vya kawaida, mashine za shinikizo ya damu na mashuka. Kaimu Meneja bank ya NMB kanda ya kusini Janeth Shango amesema huo ni mpango waliojiwekea NMB ikiwemo kutenga fedha kwa ajili ya kusaidia sekta mbali mbali hapa
nchini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...