Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akiwa pamoja na viongozi wengine wakivuta utepe kuashiria ufunguzi wa
Barabara ya Uyovu- Bwanga- Km 45 iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha
lami katika eneo la Uyovu mkoani Geita.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa Barabara ya Uyovu- Bwanga- Km
45 iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami katika eneo la Uyovu
mkoani Geita.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza na mamia ya wananchi wa Uyovu mkoani Geita kabla ya kufungua
rasmi wa Barabara ya Uyovu- Bwanga- Km 45 iliyokamilika kujengwa kwa
kiwango cha lami.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akiwasalimia wanakwaya ya Baraka wakati alipowasili Uyovu kwa ajili ya
ufunguzi wa barabara ya Uyovu- Bwanga- Km 45 iliyokamilika kujengwa kwa
kiwango cha lami.
Sehemu ya Barabara ya Uyovu- Bwanga- Km 45 iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akiagana na wananchi wa Uyovu mara baada ya kufungua Barabara ya Uyovu-
Bwanga- Km 45 iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami. PICHA NA
IKULU.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...