Katibu tawala mkoa wa Ruvuma HASSAN BENDEYEKO amesema ili mwalimu katika shule husika ateuliwe mkuwa mwalimu mkuu ni lazima awe amefaurisha wanafunzi kwa asilimia 60 hadi 90 hii itasaidi kwa mkoa wa Ruvuma katika kukabiliana na uporomokaji wa elimu kwa kipindi cha mwaka 2017 baada ya mkoa huo kufanya vibaya katika matokeo ya kidato cha nne.
HABARI KAMILI HII HAPA VIDEO YAKE.
Home
Unlabelled
ILI UWE MWALIMU MKUU LAZIMA SHULE YAKO IFAHURISHWE KUANZIA ASILIMIA 60 HADI 90
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...