Meya wa Manispaa ya Ubungo,Boniface Jacob akizungumza kabla ya kutiliana Saini Mkataba na Benki ya CRDB Juu ya Mikopo ya kina Mama na Vijana wa Halmashauri ya Ubungo .
 Meya wa Manispaa ya Ubungo,Boniface Jacob akitia saini Mkataba wa makubaliano wa kushirikiana na benki ya CRDB Kutoa Mikopo  kwa  kina Mama na Vijana wa Halmashauri ya Ubungo .
 Mkurugenzi  wa Halamashauri ya Manispaa ya Ubungo, John Kayombo akizungumza kabla ya kumkaribisha mwakilishi wa benki ya CRDB Kuelezea walivyojipanga kutoa mikopo kwa kina Mama na Vijana wa Halmashauri ya Ubungo .
 Muwakilishi wa Benki ya CRDB, Philip Stephene akizungumza kuhusu benki yake itakavyotoa mikopo kwa kina Mama na Vijana wa Halmashauri ya Ubungo .
 Sehemu ya Wafanyakazi wa Benki ya CRDB Wakishuhudia tukioa la utiaji saini baina ya Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo na CRDB  kwa kina Mama na Vijana wa Halmashauri ya Ubungo .
Sehemu ya Wafanyakazi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo wakifutilia tukio hilo la utiaji saini na benki ya CRDB

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...