
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo akijibu hoja za Wabunge wakati wa kuhitimisha Bajeti ya OR- TAMISEMI.
Naibu Waziri –TAMISEMI Mhe.Josephat Sinkamba Kandege akijibu hoja wakati wa kuhitimisha Bajeti ya OR-TAMISEMI.
Naibu Waziri –TAMISEMI Mhe.Joseph George Kakunda akijibu hoja wakati wa kuhitimisha Bajeti ya OR-TAMISEMI
Katibu Mkuu OR-TAMISEMI Eng Mussa Iyombe(Pili kushoto) akiwa na watumishi wa Wizara wakifuatilia majadiliano ya Bajeti wakati wa kuhitimisha Bajeti ya OR-TAMISEMI.
Mkurugenzi wa Sera na Mipango OR-TAMISEMI John Cheyo(kushoto) akifuatiwa na Mkurugenzi wa Udhibiti wa huduma za TEHAMA Michael Moshiro wakati wa kuhitimisha Bajeti ya OR-TAMISEMI.
Baadhi ya wajumbe wa Menejimenti ya OR-TAMISEMI wakifuatilia mjadala wa kuhitimisha Bajeti ya TAMISEMI.
Baadhi ya wajumbe wa Menejimenti ya OR-TAMISEMI wakifuatilia mjadala wa kuhitimisha Bajeti ya TAMISEMI.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...