
Waanzilishi wa mwanzo wa Vita ya Maji Maji walikuwa ni Machifu na mganga wa jadi kutoka jamii za Wangindo na wamatumbi na baadaye vuguvugu hilo lilienea kama moto kwenya jamii nyingi ikijumuisha jamii za Wamatumbi,Wamwera,Wangindo,Wangoni,wapogoro,Wandendeule,Wabena,Wasangu na nyingine nyingi. Kwa undani wa Historia hii ya Vita ya Maji Maji tizama sehemu ya pili ya Historia ya Vita hivyo.
KAMA ULIPITWA NA SEHEMU YA KWANZA YA HISTORIA YA VITA YA MAJI MAJI HII HAPA CHINI.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...