mkuu wa mkoa wa RUVUMA CHRISTINA MNDEMA amewataka wamiliki wa vyombo vya moto kuacha tabia ya kutoa lawama badala yake wasimamie sheria za barabarani kwani ajali nyingi zinatokea ni uzembe wa madereva wao.
Amebainisha hayo wakati akizungumza na wamiliki wa vyombo hivyo huku mamlaka inayosimamia barabara TARURA NA TANROAD kuhakikisha barabara zinaboreshwa ili kupunguza ajali zinazoonyesha kusababishwa na miundombinu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...