Wakazi mbalimbali kutoka mitaa ya kata ya Pangani, Kibaha Mjini wakionekana pichani kujitolea katika nguvu kazi kujenga shule ya sekondari ya Pangani
Msaidizi wa mbunge wa jimbo la Mjini Kibaha ,Method Mselewa (aliyeshika tofali) akiwaunga mkono wakazi wa kata ya Pangani ,katika zoezi la kujitolea kujenga shule ya sekondari. Picha na Mwamvua Mwinyi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...