Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Watafiti  wa Mazao ya Kilimo  kutoka Kituo cha Utafiti  cha Mikocheni jijini Dar es salaam, Wakala wa Mbegu za Kilimo  (ASA) na Taasisi ya Utafiti  wa Kilimo Tanzania, kwenye makazi yake jijini Dar es salaam Julai 11, 2018.  Wa pili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Brigedia Jenerali Mstaafu, Emmanuel Maganga na Wa pili kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo  Tanzania, Bw. Japhet Justine.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...