Wadau wa Globu ya Jamii kutoka Tanzania Dhiresh Kaba, Moheel Kaba, Javier Diaz na Jay Kaba wakiwa Moscow kushuhudia kipute cha jana cha Croatia vs England
Dhiresh Kaba akifurahia baada ya Croatia kusawazisha
Dhiresh Kaba, Moheel Kaba, Javier Diaz na Jay Kaba wakiwa Moscow kushuhudia kipute cha Croatia vs England
Wadau Othman Tippo (kulia), Emma Rutagonya (kati) pamoja na Mboka wakiwa katika moja ya viwanja vya soka nchini Urusi kushuhudia kipute cha nusu fainali ya kombe la Dunia kati ya Croatia na England.
Wadau Othman Tippo (kulia), Emma Rutagonya (kati) pamoja na Mboka wakiwa katika moja ya viwanja vya soka nchini Urusi kushuhudia kipute cha nusu fainali ya kombe la Dunia kati ya Croatia na England.
Hongereni wadau.Pamoja sana.Sisi tunamalizia Kagame cup pande hizi
ReplyDelete