Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Kangi Lugola (Mb) akipokea salaam ya heshima kutoka kwa gadi maalum iliyoandaliwa kwa ajili yake ikiundwa na maafisa na askari wa Jeshi la Magereza.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Kangi Lugola (Mb) akikagua gadi ya heshima iliyoandaliwa kwa ajili yake alipofanya ziara ya kikazi katika Jeshi la Magereza leo Julai 11,2018 jijini Dar es salaam.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Kangi Lugola (Mb) akisalimiana na baadhi ya maafisa waandamizi wa Jeshi la Magereza mara baada ya kukagua gwaride maalum. Kushoto ni Kamishna Jenerali wa Magereza Dkt. Juma Malewa na aliyeshikanaye mkono ni Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza Musa Kaswaka.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Kangi Lugola (Mb) (katikati) katika picha ya pamoja na baadhi ya maafisa waandamizi wa Jeshi la Magereza wakiwa Makao Makuu ya Jeshi hilo kabla ya kuendelea na ziara yake katika Kiwanda cha Seremala gereza Kuu Ukonga, Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji na baadaye kuongea na Maafisa na askari Bwalo Kuu la Maafisa Ukonga. Picha zote na Jeshi la Magereza

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...