Wafanyakazi wa benki ya Exim Tanzania wakikata keki kuadhimisha miaka 21 ya huduma za benki hiyo nchini wiki iliyopita katika tawi la Samora Avenue. Kutoka kushoto ni mkuu wa shughuli za matawi, Eugen Masawe, Afisa wa benki- mafunzo na maendeleo, Melkiada Makongela na manager utoaji huduma mbadala, Mita Shah.
 Mkuu wa rasilimali watu wa Exim Bank Tanzania akiongea na wafanyakazi wa benki hiyo wakati wa maadhimisho ya miaka 21 ya kutoa huduma nchini wiki iliyopita katika tawi la Samora Avenue.
Wafanyakazi benki ya Exim benki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...