Sehemu ya Wafanyakazi wa Kampuni ya EY Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumalizika kwa Bonanza lao la Michezo, lililofanyika mwishoni kwa wiki kwenye Viwanja vya Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM). Zaidi ya michezo kumi ilichezwa uwanjani hapo, Wafanyakazi hao walijigawa katika makundi matano kutokea kila kitengo na kutengeneza timu tano katika kila mchezo (Kilimanjaro, Tigers, Rockets, Eagles pamoja na Wolves), ambapo ushindi wa jumla ulinyakuliwa na Timu Kilimanjaro.
 Mtendaji Mkuu Mwenza wa Kampuni ya EY Tanzania, Ukaguzi wa Hesabu (Audit Partner), Neema Kiure Mssusa akingumza wakati wa ufunguzi wa Bonanza la Michezo kwa Wafanyakazi wa Kampuni hiyo, lililofanyika mwishoni kwa wiki kwenye Viwanja vya Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM).
 Baadhi ya Wafanyakazi wa Kampuni ya EY Tanzania wakichuana vikali katika mchezo wa Soka wakati wa Bonanza lao la Michezo, lililofanyika mwishoni kwa wiki kwenye Viwanja vya Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...