Nchi ya MAREKANI kupitia ubalozi wake nchini Tanzania na kuwakilishwa na kaimu balozi INMI PATTERSONI umegawa magari matano kwa tume ya kudhibiti UKIMWI nchi TACAIDS katika mikoa ya nyanda za juu kusini ikiwemo RUVUMA,MBEYA,KATAVI,RUKWA NA SONGWE kwa ajili ya kwenda kudhibiti maambukizi wa ugonjwa wa UKIMWI katika mikoa hiyo ambapo ugawaji wa magari hayo umefanyika mkoani Ruvuma na kukabidhiwa kwa waziri ofisi ya waziri mkuu sera ,bunge ,ajira,na watu wenye ulemavu mh JENISTER MHAGAMA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...