Nchi ya MAREKANI kupitia ubalozi wake nchini Tanzania na kuwakilishwa na kaimu balozi INMI PATTERSONI umegawa magari matano kwa tume ya kudhibiti UKIMWI nchi TACAIDS katika mikoa ya nyanda za juu kusini ikiwemo RUVUMA,MBEYA,KATAVI,RUKWA NA SONGWE kwa ajili ya kwenda kudhibiti maambukizi wa ugonjwa wa UKIMWI katika mikoa hiyo ambapo ugawaji wa magari hayo umefanyika mkoani Ruvuma na kukabidhiwa kwa waziri ofisi ya waziri mkuu sera ,bunge ,ajira,na watu wenye ulemavu mh JENISTER MHAGAMA
Home
MICHUZI TV
UBALOZI WA MAREKANI NCHINI TANZANIA WAGAWA MAGARI MATANO KWA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...