Mfanyabiashara wa kuuza Kitoweo katika soko la Kiwalani  akiandaa kwa ajili ya kukaanga kuku na kuuza kwa wateja wanaotoka sehemu tofauti tofauti jijini Dar es Salaam, ambapo kipande cha kuku huuzwa kati ya shilingi 1500 mpaka 2000. (picha na Emmanuel Massaka wa Global ya jamii)
 Wanfanyabiashara wa kuku katika soko la Kiwalani jijini Dar es Salaam wakiendelea na kazi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...