Benki ya i&M imeadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja kwa kuzindua Promosheni inayojulikana kama JIDABO na i&M Bank.

Promosheni hiyo itawezesha Wateja wa Benki hiyo kupata akiba mara mbili katika Akaunti zao, Promisheni itakayodumu kwa kipindi cha Miezi mitatu kuanzia Oktoba Mosi.

Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Kitengo cha Wateja wa Rejareja wa i&M Bank, Ndabu Swere amesema Wiki ya Huduma kwa Wateja wanaipa kipaumbele kwa kuwashukuru Wateja, na kuangalia vitu vya kuboresha katika Benki.

Ndabu amesema Promosheni ya JIDABO na i&M Bank itakuwa kwa Wateja wa ndai na Wateja watarajiwa.

Amesema ili kushiriki Promisheni hiyo Wateja wote wenye Akaunti za Akiba, Biashara na Watoto wanaweza kushiriki katika Promosheni hiyo
Mkuu wa Kitengo cha Wateja wa Rejareja wa i&M Bank, Ndabu Swere akizungumza na wateja pamoja na wafanyakazi wa I&M Bank kuhusu kuanzishwa kwa promosheni  mpya ya JIDABO na i&M Bank iliyoanza leo katika maadhimisho ya wiki ya Huduma kwa wateja wa benki hiyo leo jijini Dar es Salaam.
Wateja na wafanyakazi wa i&M Bank Tawi wa Oysterbay wakikata keki wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja Duniani jijini Dar es Salaam
Wateja wa i&M Bank tawi la Kariakoo wakikata keki wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja Duniani jijini Dar es Salaam
Maneja  wa i&M Bank Tawi la Kariakoo, Asheri Warioba akizungumza na wateja pamoja na wafanyakazi wa  I&M Bank katika tawi ilo kuhusu huduma wanazozitoa wakati wa Wiki ya Huduma kwa Wateja Duniani jijini Dar es Salaam
Mkuu wa Kitengo cha Wateja wa Rejareja wa i&M Bank, Ndabu Swere akimsikiliza mmoja wa wateja wa  I&M Bank  Tawi la Main wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja Duniani jijini Dar es Salaam.
Meneja wa  Tawi la Main Imran Walli akimlisha mmoja wa wateja wa benki hiyo wakati Wiki ya Huduma kwa Wateja Duniani jijini Dar es Salaam
Mkuu wa Kitengo cha Wateja wa Rejareja wa i&M Bank, Ndabu Swere akilishwa keki na mmoja wa wateja wa benki hiyo wakati wa Wiki ya Huduma kwa Wateja Duniani jijini Dar es Salaam.
Maneja  wa i&M Bank Tawi la Kariakoo, Asheri Warioba akimlisha mmoja wa wateja wa benki hiyo wakati Wiki ya Huduma kwa Wateja Duniani jijini Dar es Salaam
Meneja wa  Tawi la Oysterbay Abbasali Remtulla akimlisha mmoja wa wateja wa benki hiyo wakati Wiki ya Huduma kwa Wateja wa jijini Dar es Salaam
Meneja wa  Tawi la Oysterbay Abbasali Remtulla akilishwa na mmoja wa wateja wa benki hiyo wakati Wiki ya Huduma kwa Wateja Duniani jijini Dar es Salaam .
Meneja Masoko naUhusiano wa I&MBank, Emmanuel Kiondo(kulia) akizungumza jambo na Meneja wa  Tawi la Oysterbay Abbasali Remtulla
wakati wa Wiki ya Huduma kwa Wateja Duniani jijini Dar es Salaam.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...