Mkuu wa Operesheni Maalum za Jeshi la Polisi Nchini Naibu Kamishna DCP Liberatus Sabas akitoa Elimu kwa wanakijiji wa Chikong’o, Wilayani Tandahimba, Mkoa wa Mtwara juu ya kukabiliana na wageni wanaoingia maeneo hayo wakitokea sehemu mbalimbali za Nchi na Nchi jirani ya Msumbiji hiyo itasaidia kupunguza uhalifu katika maeneo na makazi yao.
Mkuu wa Operesheni Maalum za Jeshi la Polisi Nchini Naibu Kamishna DCP Liberatus Sabas akitoa Elimu kwa wanakijiji cha Mkaha Wilaya ya Tandahimba Mkoa wa Mtwara, juu ya kukabiliana na wageni wanaoingia maeneo hayo wakitokea sehemu mbalimbali za Nchi na Nchi jirani ya Msumbiji hiyo itasaidia kupunguza uhalifu katika maeneo na makazi wanayoishi.
Mkuu wa Operesheni Maalum za Jeshi la Polisi Nchini Naibu
Kamishna DCP Liberatus Sabas akiwa katika kijiji cha Chikong’o wilayani Tandahimba
mkoani Mtwara akikagua moja ya vipenyo wanavyotumia wahalifu kuvuka kutoka
nchini Tanzania kwenda Nchini Msumbiji moja ya vipenyo hivyo ni Mto Ruvuma. (Picha
na Jeshi la Polisi)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...