Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi, akitoa mada ya umuhimu wa mawasiliano ya kimkakati mbele ya viongozi mbalimbali wa mkoa wa Simiyu. Kwenye wasilisho lake amesisitiza kutangaza na kutetea mageuzi yanayofanywa na Serikali ya amamu ya tano.

Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mheshimiwa Anthony Mtaka pamoja na viongozi wengine wa mkoa huo waliohudhuria kikao cha uwasilishaji wa mada iliyohusu umuhimu wa mawasiliano ya kimkakati katika kutangaza ahadi za serikali.

Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Msemaji wa Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi akibadilishana mawazo na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, mheshimiwa Anthony Mtaka (katikati) na Katibu Tawala wa mkoa huo Jumanne Sagini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...