Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt,Ali Mohamed Shein akibonyeza kitufe kuashiria Uzinduzi wa mradi wa Mfumo wa kuimarisha usalama katika mji wa Zanzibar uliofanyika katika Ukumbi wa Idrisa Abdull Wakil Kikwajuni mjini Zanzibar. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt,Ali Mohamed Shein akitoa hatuba ya Uzinduzi wa mradi wa Mfumo wa kuimarisha usalama katika mji wa Zanzibar uliofanyika katika Ukumbi wa Idrisa Abdull Wakil Kikwajuni mjini Zanzibar. 
Makamanda pamoja na Wananchi mbalimbali waliohudhuria katika Uzinduzi wa mradi wa Mfumo wa kuimarisha usalama katika mji wa Zanzibar uliofanyika katika Ukumbi wa Idrisa Abdull Wakil Kikwajuni mjini Zanzibar. 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara maalum za SMZ Haji Omar Kheir akitoa hotuba ya makaribisho kwa Mgeni Rasmi katika Uzinduzi wa mradi wa Mfumo wa kuimarisha usalama katika mji wa Zanzibar uliofanyika katika Ukumbi wa Idrisa Abdull Wakil Kikwajuni mjini Zanzibar. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt,Ali Mohamed Shein katikati akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi mbalimbali katika Uzinduzi wa mradi wa Mfumo wa kuimarisha usalama katika mji wa Zanzibar uliofanyika katika Ukumbi wa Idrisa Abdull Wakil Kikwajuni mjini Zanzibar. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt,Ali Mohamed Shein kushoto akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt,Abdalla Juma Sadalla(MABODI)Mara baada ya kuasili katika Uzinduzi wa mradi wa Mfumo wa kuimarisha usalama katika mji wa Zanzibar uliofanyika katika Ukumbi wa Idrisa Abdull Wakil Kikwajuni mjini Zanzibar. PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...