Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akiwa ameongozana na Mkuu wa Wilaya ya Karagwe Godfrey Mheluka, wakati alipowasili wilayani humo mkoani kagera kwa ziara ya kikazi leo 31/10/2018. Picha na Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Karagwe Godfrey Mheluka (kulia) muda mfupi baada ya kuwasili wilayani humo mkoani Kagera kwa ziara ya kikazi. Picha na Jeshi la Polisi.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...